Mhe. Ridhiwani Kikwete Awasili Mkoani Mtwara Kuhudhuria Mahafali ya 43 ya
TPSC
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete (Mb.), amewasili mkoani Mtwara
kuhudhuria ...
4 hours ago

7 comments:
what a nostalgia!
Mwaipopo, eti nini?
Mzee mkundi naye yupo kama mzee wangu mpaka sumni ameitunza duh! senti moja, senti tano ....
Da' Yasinta inaitwa Sumni au Thumni?
Manoti pesa!
Kwa mtu kama mimi ukiniuliza swali kama hilo nitakuambia kuwa `unauliza jibu'
Tumezitumia hizo sana, na thamani yake nafikiri ni kubwa kuliko hizi tunazotumia sasa hivi, anayebisha aseme!
kaka shaban nawe huna dogo mweeeh! sawa ni Thumni. Kaaazi kwelikweli.
Post a Comment